UjuzilioFrom Wikipedia, the free encyclopedia Ujuzilio (pia: Unostiki, Gnosi; kwa Kiingereza: "Gnosticism", kutoka neno la Kigiriki γνωστικός, gnostikos, "mwenye ujuzi", ambalo mzizi wake ni γνῶσις, gnōsis, "ujuzi") ni nadharia ya wokovu kupatikana kwa njia ya maarifa.pia Maabadi ya Wamandayo huko Nasiriya, Iraq.
Ujuzilio (pia: Unostiki, Gnosi; kwa Kiingereza: "Gnosticism", kutoka neno la Kigiriki γνωστικός, gnostikos, "mwenye ujuzi", ambalo mzizi wake ni γνῶσις, gnōsis, "ujuzi") ni nadharia ya wokovu kupatikana kwa njia ya maarifa.pia Maabadi ya Wamandayo huko Nasiriya, Iraq.