Mtandao Kuruba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Katika utarakilishi, Mtandao Kuruba (kifupi: MK; kwa Kiingereza: local area network) ni mtandao wa tarakilishi unaounganisha tarakilishi kadhaa katika eneo dogo kama shule, nyumba au chuo kikuu.
Katika utarakilishi, Mtandao Kuruba (kifupi: MK; kwa Kiingereza: local area network) ni mtandao wa tarakilishi unaounganisha tarakilishi kadhaa katika eneo dogo kama shule, nyumba au chuo kikuu.