Rafael Correa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Rafael Vicente Correa Delgado (alizaliwa 6 Aprili 1963) ni mwanasiasa nchini Ekuador na tangu Januari 2007 hadi 2017 alikuwa rais wa nchi hiyo.
Ukweli wa haraka 43 Rais wa Ekuador, mtangulizi ...
Rafael Vicente Correa | |
43 Rais wa Ekuador | |
---|---|
Muda wa Utawala Januari 15, 2007 (2007-01-15) – Mei 24, 2017 (2017-05-24) | |
mtangulizi | Alfredo Palacio |
aliyemfuata | Lenín Moreno |
tarehe ya kuzaliwa | Aprili 6 1963 (1963-04-06) (umri 61) Guayaquil |
utaifa | Ecuadorian |
chama | PAIS Alliance |
ndoa | Anne Malherbe Gosseline |
dini | Ukristo |
signature |
Funga
Ni Mkristo wa Kanisa Katoliki, humanist na mchumi. Alipata elimu yake katika vyuo vikuu vya Ekuador, Ubelgiji na Marekani. Yeye anasema Kihispania, Kiingereza, Kiquechua na Kifaransa.