Ankara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Ankara ni mji mkuu wa Uturuki. Iko katika kitovu cha Anatolia kwenye kimo cha 938 m juu ya UB.[1] Huu ndiyo mji mkuu wa Mkoa wa Ankara.
Ukweli wa haraka Nchi ...
Jiji la Ankara | |
Mahali pa mji wa Ankara katika Uturuki |
|
Majiranukta: 39°52′0″N 32°52′0″E | |
Nchi | Uturuki |
---|---|
Tovuti: www.ankara.bel.tr./ |
Funga
Ankara ni mji mkubwa wa pili nchini baada ya Istanbul. Kuna wakazi 4,319,167 (2005).