Hip hop
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hip hop ni aina ya muziki unaoelezea aina ya usanii na utamaduni uliyotokana na jamii ya Wamarekani Weusi na Walatino kunako miaka ya 1970 mjini New York City, hasa katika kitongoji cha Bronx.[1][2][3]
DJ Afrika Bambaataa alieleza kwa muhtasari wa nguzo nne za utamaduni wa Hip hop: U-MC, U-DJ, breaking na uandikaji wa graffiti.[4][5][6]
Elementi nyingine ni pamoja na beatboxing.[7]