Pupa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Pupa ni hatua ya maisha ya baadhi ya wadudu wanaopitia mabadiliko kati ya hatua za kukomaa na ukomavu wake. Katika mabadiliko ya maumbile au metamofosisi wadudu hao wanapitia hatua nne ambapo wanaonekana tofauti kabisa ambazo ni lava, pupa, na mdudu kamili (kwa lugha ya kitaalamu imago).[1]
Mabadiliko hayo yote yanadhibitiwa na homoni mbalimbali.